Monday, October 29, 2012

TWIGA CEMENT YAKABIDHI ZWADI KWA WASHINDI WA TUZO ZA MAZINGIRA



  Mkurugenzi Idara ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira ya Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Ignace Mchallo (kushoto) akimpongeza  Leonard Gastory Lugali, akiyeibuka mshindi wa kwanza wa shindano kuhusu  mazingira lililopewa jina la‘Quarry Life Award’ lililokuwa likiendeshwa na Kampuni ya Saruji yaTanzania Portland Cement (Twiga) na kupewa zawadi ya EURO 5000 katika hafla iliyofanyika kiwandani hapo, Dar es Salaam jana. Mshindi wa pili alipewa EURO 5000 na wa tatu aliondoka na 1500. Wengine pichani washindi, majaji wa shindano na maofisa wa TPCC.

No comments:

Post a Comment