Thursday, November 22, 2012

Tamasha la Jinsia Morogoro





 Mgeni rasm na Mkuu wa Chuo cha Jinsia Dk. Diana Mwiru wakifuatilia tamasha la Jinsia  ngazi ya wilaya linaloendelea katika viwanja vya MOSEKA Mkamabarani Morogoro Vijijini, kuanzia 21-23 Novemba 2012. washiriki zaidi ya  400 wamejitokeza kwa siku ya kwanza huku tukitarajia ongezeko kubwa la wan anchi siku ya leo kutokana na msisimko mkubwa wa mada na wananchi wengi kutaka kuzungumzia kero zao, kwa siku ya jana.  Jana  kilio kikubwa kilikuwa ni Migogoro ya ardhi na uongozi mbovu.

 Wanaanchi wa Mkambarani
 Wananchi wa Morogoro walioshiriki tamasha wakiendelea kusikiliza watoa mada
Ni burudani kila mara kuondoa uchovo

No comments:

Post a Comment