Wednesday, November 7, 2012

TIGO YATOA OFA KABAMBE YA SMARTPHONE ZENYE UBORA NA KIWANGO CHA HALI YA JUU


Meneja wa huduma za intarnet kampuni ya tigo Titas Kafuma na Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Huawei technologies t co.ltd Bw, Bruce Zhang wakizindua huduma ya moja za simu za Smart Phone ambazo zitakuwa na ubora wa hali ya juu na bei nafuu kwa mteja

Mmoja ya maofisa wa Kampuni hiyo Mariamu Mlangwa akizungumza

Meneja wa huduma za intarnet kampuni ya tigo Titas Kafuma

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Huawei technologies t co.ltd Bw, Bruce Zhang akitoa ufafanuzi

No comments:

Post a Comment