Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?)

Thursday, January 24, 2013

MPIGA GITAA LA BESS MSONDO NGOMA AAGA DUNIA



 

Marehemu Ismail Mapanga, enzi za uhai wake.

MPIGA gitaa la besi wa bendi kongwe ya Msondo Ngoma, Ismail Mapanga, amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo, katika Hospitali ya Temeke, jijini Dar es Salaam na kuacha pengo kubwa katika bendi hiyo.

Akizungumza  leo jijini Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo, Said Kibiriti, alisema taarifa za msiba wa mwanamuziki ni nzito kwao, huku akitarajiwa kuzikwa leo saa saba mchana.

Kibiriti alisema kifo cha Mapanga ni pigo kubwa kwa bendi yao, hasa kutokana na mchango wake katika tasnia ya muziki wa dansi, akiwa na Msondo Ngoma.
Amri Massare (Maximo) at 1:07 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Amri Massare (Maximo)
View my complete profile
Powered by Blogger.