Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?)

Tuesday, August 6, 2013

RAMADHANI SHAURI ALIVYO ONESHANA UBABE NA RICO MUELLER NCHINI GERMANY






Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipambana na  Rico Mueller  wa Germany ambaye ni bondia namba moja katika nchi yake wakati wa mpambano wa kugombania ubingwa wa International Boxing Organization Inter-Continental welterweight title




Bondia Ramadhani Shauri kushoto akipambana na  Rico Mueller  wa Germany ambaye ni bondia namba moja katika nchi yake wakati wa mpambano wa kugombania ubingwa wa International Boxing Organization Inter-Continental welterweight title baada ya mpambano huo shauri amepata mkataba wa kucheza mchezo mwingine katika nchi hiyo tena tunamtakia kila la heri bondia mtanzania Ramadhani Shauri
Amri Massare (Maximo) at 12:16 PM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Amri Massare (Maximo)
View my complete profile
Powered by Blogger.