Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MKUTANO WA PILI WA MABARAZA HURU YA HABARI
AFRIKAl
-
Kassim Nyaki, NCAA.
Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) inatumia fursa ya mkutano
wa pili wa mabaraza huru ya Habari Afrika unaofanyika jijin...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment