Friday, February 14, 2014

KASEBA MASHALI WACHIMBIANA MKWALA



Bondia Japhert Kaseba kushoto na Thomas Mashali wakitunishiana misuli baada ya kutambiana mbele ya mashabiki kuhusu kuwepo kwa mpambano wao unaotafutiwa Promota kwa ajili ya kuandaa gem hiyo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment