Friday, November 14, 2014

MASHINDANO NG'OMBE CUP YAENDEREA MAFIA MKOA WA PWANI



LIGI ya ng'ombe cup imeimalizika kwa atua ya kwanza  baada ya kumalizika mchezo wa mpira wa miguu baina ya jah fc na bayani fc ambapo katika matoke bayani ilibuka na ushindi wa magoli 2.0 matokeo hayo yameifanya bayani kutinga 8 bora ambapo imeungana na timu za rhino,utende fc,bayan,mfuluni,killas
,jah fc, pince boys, na potwe fc mashindano hayo yataendelea tena jumatatu taharifa hii kwa niaba ya mwenyekiti wa mashindano  ya ngo'mbe cup mafia kisiwani

mashindano hayo yanafanyika  dawe ndege wilayani kilindoni mafia mkoa wa pwani na kudhaminiwa na diwani wa  halmashauli wilaya ya mafia, Msomi Ally Kuku yataendelea tena jumatatu kwa kuzikutanisha timu mbalimbali zilizotinga hatua ya 8 bora

No comments:

Post a Comment