Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?)

Tuesday, April 14, 2015

ZIARA YA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO NDANI YA MJI WA MOROGORO

ZIARA YA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO NDANI YA MJI WA MOROGORO


 


to1
Viongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini humo jana kabla kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe hajaanza kuhutubia katika mji wa Morogoro jana.to2Zitto Kabwe akihutubia wananchi wa Morogoro jana.to3Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT -Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini Morogoro jana.to5Umati wa wananchi to6Kiongozi wa Chama cha ACT -Wazalendo Zitto Kabwe, akishiriki kuzika miili ya watu walioungua kwa moto uliotokana na ajali jana.
Amri Massare (Maximo) at 3:22 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Amri Massare (Maximo)
View my complete profile
Powered by Blogger.