Mkuu wa Kitengo cha udhamini wa Kampuni ya simu za mikononi ya Vodacom, Ibrahim Kaude (kushoto) akimsindikiza mchezaji mwenye kipaji aliyechaguliwa kwa ushirikiano wa Vodacom na Global Soccer Star,Francis Casto,kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julias Nyerere,Dar es salaam wakati wa safari yake ya kwenda Ubelgiji,kuendeleza kipaji chake katika timu ya Cecle Brugge.(Picha na Rajabu Mhamila)
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment