Bendi ya Muziki wa Dansi Tanzania Sikinde Ngoma ya Ukaye kwa sasa ipo kambini ikijipanga kurudi tena katika chati ya muziki huo hapa nchini ambapo wataanza kutoa burudani siku ya Iddi Mosi watatumbuiza katika ukumbi wa DDC Kariakoo (Old Traford) na Iddi Pili watakuwa Max Bar Ilala Bungoni.
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment