Thursday, October 1, 2009

CHEKA VS KASEBA NANI MBABE ?

Mratibu wa wa mpambano wa ngumi, Ramadhani Uhadi katikati akiwainuwa mikono Dar es salaam jana mabondia, Japhet Kaseba (kushoto)na Francis Cheka kabla ya kupima uzito kwa ajiri ya mpambano wao leo.(Picha na Rajabu Mhamila)BOndia Japhet Kaseba (kushoto) na Francis Cheka wakitunishiana misuri Dar es salaam jana baada ya kupima uzito kwa ajiri ya mpambano wao leo.(PIcha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment