Thursday, October 1, 2009

TBL YAZINDUA CHUPA MPYA YA NDOVU

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia Tanzania (TBL) Bw. Robin Goetzsche (kulia) na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni hiyo Bw. David Minja (kushoto) pamoja na Meneja wa bia ya ndovu Bw.Oscar Shelukindo wakifuraia baada ya kuzindua chupa mpya ya bia ya Ndovu Special Malt Dar es salaam juzi.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment