Monday, October 19, 2009

FIVE STAR WASHIKA JIJI LA DAR

waimbaji wa kundi la five star wakiwajibika wakati wa onesho lao lililofanyika katika ukumbi wa max bar ilala Dar es salaam kutoka kushoto ni Hadija Yusufu Zainabu Said na Mariamu Mramari.(Picha na Rajabu Mhamila Super D Mnyamwezi)

No comments:

Post a Comment