Monday, October 19, 2009

TWANGA PEPETA WAFANYA VITU VYAO LEADERS CLUB

Waimbaji wa bendi ya Afrikan stars twanga pepeta wakiwajibika katika viwanja vya lidaz club dar es salaam kushoto ni Chalez Gabrier Chals baba na Alex Fagason.(Picha na Rajabu Mhamila Super d Mnyamwezi) Wanenguaji wa bendi ya twanga pepeta wakiwajibika wakati wa onesho lao dar es salaam

No comments:

Post a Comment