Wednesday, October 21, 2009

KAMATI ZA BUNGE ZAENDELEA...

Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali Bw. Jonh Cheyo (kushotO) akizungumza na mwenyekiti wa mda wa Kamati hiyo Dar es salaam.Bw.Mudhiri wakati wa vikao vya kamati za bunge.(Picha na Rajabu Mhamila)Mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini Bw. Victor Mwambalaswa (kulia) akizungumza na wahandishi wa habari kuhusu kutembelea mitambo ya SONGAS Dar es salaam jana kushoto ni Mwenyekiti wa kamati hiyo Bw.William Shelukindo.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment