Wednesday, October 21, 2009

ZAIN YAZINDUA PAMOJA+ (UHURU WA KUONGEA)

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Zain Tanzania Bw. Kelvin Twissa,(kushoto) Mkurugenzi Mkuu, Khalid Muktad na Ofisa Bihashara wa kampuni hiyo Bw. Chiruyi Walingo wakiwa wameshika vipeperushi wakati wa uzinduzi wa Pamoja+ iliyozinduliwa Dar es salaam jana ambapo mteja anauwezo wa kuchagua watu kum wa mtandao uho na mmoja kutoka mtandao wowote nchini kwa kuongea kwa garama nafuu.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment