
Mratibu wa Jopo la Uangalizi wa uchaguzi wa serikali za mtaa Imelda Urio kutoka kutuo cha sheria na haki za binadamu akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kituo hicho kuchaguluwa kusimamia chaguzi mbali mbali za serikali za mitaa ambapo kituo kilipeleka maombi kwenye ofisi ya waziri mkuu tawala za na serikali za mitaa.
No comments:
Post a Comment