
Katibu Mkuu wa Pool table Taifa ,Amos Kafwinga (kushoto) akizungumza na wahandishi wa habari Dar es salaam jana kuhusu kuingia kambini kwa timu ya taifa ya mchezo uho jana na kupata mbambano wa kirafiki kati yao na Uganda kulia ni Katibu msaidizi wa Balozi wa Uganda Allan Tazenya.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment