Meneja Masoko wa Kampuni ya Zain, Bw. Costantine Magavilla (kushoto) akionesha waandishi wa habari jinsi ya kujiunga na huduma mpya ya Internet inayopatikana kwa urahisi yenye vifungu vidogovidogo, kulia ni Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni hiyo Bi. Beactrice Mallya.(Picha na Rajabu Mhamila)
No comments:
Post a Comment