Friday, January 22, 2010

MABONDIA WAZICHAPA KUSAKA NAFASI TIMU YA TAIFA

Bondia Denis Mwaisarage (kulia) akijaribu kutupa konde kwa mpinzani wake, Said Mtubukwa, wakati wa mazoezi ya kuchagua timu ya Taifa ya ngumi yaliyofanyika Dar es salaam jana (Picha na Rajabu Mhamila)Bondia Sanday Elias (kulia) akijaribu kutupa konde kwa mpinzani wake, Noel Akwilini, wakati wa mazoezi ya kuchagua timu ya Taifa ya ngumi yaliyofanyika Dar es salaam jana (Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment