Wednesday, February 3, 2010

NGUMI: KUCHEZA TIMU YA TAIFA KAZI

Bondia wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa Joseph Mart akitupa ngumi kwa mpinzani wake Hapson Julias wakati wa mashindano ya kuchagua timu ya taifa yaliofanyika Dar es salaam.(Picha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment