Wednesday, February 3, 2010

SKUVI KUSAIDIA SOKA LA VIJANA

Mkurugenzi wa Kampuni ya SKUVI, Laibai Kallahe (kushoto) akimkabidhi jezi zenye thamani ya shilingi laki 1.3, Kocha masaidizi wa Timu ya kuinuwa vipaji vya watoto wadogo ya Serengeti iliyopo Kawe Dar es salaam mwishoni mwa wiki, Baton Daudi kwa ajiri ya lengo la kuendeleza na kukuza mchezo uho.(PIcha na Rajabu Mhamila)

No comments:

Post a Comment