Bingwa wa zamani wa dunia wa ndondi za kulipwa uzito wa juu, Evander 'The Real Deal' Holyfield wa marekani akiwa amewashika mijkono bondia Ruslan Chagaev wa Uzbekistan, kushoto na Alexander Povetkin wa Urusi kulia, katika siku ya kupima uzito kwa mabondia hao mjini Erfurt, Ujerumani juzi. Pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa WBA uzito wa juu baina ya wawili hao lilitarajiwa kufanyika jana mjini Erfurt.
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment