Khalfan Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akijaribu kuumiliki mpira aliposhiriki katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Saalm, jana
Khalfan (kushoto) akiumiliki pia mpira wakati wa mazoezi hayo
WADAU WA MAZINGIRA WAASWA
-
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis ametoa rai kwa wadau wa mazingira katika ngazi zote na
wananchi kwa...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment