Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 9, 2012

Hatimaye Mahalu na mwenzake hawana hatia


Bi Grace Martine (kushoto) na Balozi Mahalu wakiwa wamezingukwa na waandishi wa habari wakiwa hata kwenye kizmba cha mahakama hawajatoka mara baada ya hukumu hiyo wakitaka kujua namna walivyopokea hukumu hiyo, ambapo Mahalu na Mwenzake wakidaiwa kufanya ufisadi kwenye ununuzi wa jengo la Ubalozi wa Tanzania nchini Italia kwa kununua kwa bei iliyochini ya ile iliyopangwa na Serikali.
Mahalu akikumbatiana na mdogowake Miras Rama, mara baada ya hukumu mahakamani hapo.
Punde tu ndugu jamaa na marafiki wakaanza kumtwangia simu na kuwaeleza hivi "ukweli umepatikana na haki imetendeka subiri baadaye tutazungumza 'Ahsante' " alisema mahalu.
Hapa Mahalu (katikati)akizungumza na wakiliwake Mabere Marando (kulia) pamoja na jamaa wengine.
Waandishi nao walikua hawatosheki kila wakati walimtaka aongelee kwa undani namna kesi hiyo ilivyokwenda lakini aliishia kusema "haki imetendeka na nimefurahi kwa hukumu hii".
Pongezi zikaendelea zaidi nje kwenye viwanja vya mahakama hiyo Kisutu jijini Dar es salaam.
Grace Martine akimuangalia kwa furaha wakili wao aliyesimamia kesi hiyo Mabre Marando kulia.

No comments :

Post a Comment