Tuesday, September 4, 2012

KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA MASUMBWI HASSANI MZONGE AHAMUA KUZIPIGA NA MABONDIA WAKE



Kocha wa timu ya Taifa ya Masumbwi Hassani Mzonge kushoto akipambana na Bondia Nasser Mafuru wakati wa mazoezi yao yanayoendelea katika GYM Khana
Bondia Nasser Mafuru kulia akipambana na mwenzake wakati wa mazoezi yake leo



No comments:

Post a Comment