Tuesday, December 10, 2013

Samsung yahamasisha Kulindwa kwa haki za Mteja Tanzania



Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Sylvester Manyara (katikati) akichezesha droo ya nne ya Pambika na Samsung huku akishuhudiwa na Msimamizi toka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Emmanuel Ndaki (Kushoto) huku kulia ni Mratibu wa Pambika na Samsung Bw. Lawrence Andrew.
   Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzaia Bw Sylvester Manra akiongea na mmoja ya washindi wa droo ya nne ya promosheni ya Pambika na Samsung mara baada ya kuchezesha droo hiyo ya nne. Jumla ya washindi 15 wamezawadiwa bidhaa mbalimbali toka Samsung katika droo ya nne mara baada ya kununua bidhaa halisi za Samsung na kuisajili.

No comments:

Post a Comment