Mchezaji wa Pool table wa Mkoa wa Tanga, Zainabu philipo, akijiandaa kupiga mpira wakati wa mashindano ya taifa ya mchezo huo kwa wanawake katika hatua ya kuingia nusu fainal yanayodhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania kupitia bia ya Safari Lager jijini Mbeya jana ...(Picha na Rajabu Mhamila)
DAKTARI BINGWA WA USINGIZI MUHIMBILI ZHANG JUNQIAO AFARIKI DUNIA
-
Na Malisa GJ
Tumempoteza daktari Bingwa wa dawa za usingizi Hospitali ya Taifa
Muhimbili. Dkt.Zhang Junqiao (38) amefariki juzi tarehe 15 Juni 2025 huko...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment