Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Kanda ya Kusini, Malaki Sitaki (kulia) akimkabidhi Katibu Mkuu wa timu ya Prisons, Sadiki Saffari mfano wa hundi ya sh. milioni nne ikiwa msaada kwa ajili ya maandalizi ya Ligi Kuu ya Vodacom inayotarajia kuanza hivi karibuni. Katikati ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu. (Picha na Rajabu Mhamila)
DAKTARI BINGWA WA USINGIZI MUHIMBILI ZHANG JUNQIAO AFARIKI DUNIA
-
Na Malisa GJ
Tumempoteza daktari Bingwa wa dawa za usingizi Hospitali ya Taifa
Muhimbili. Dkt.Zhang Junqiao (38) amefariki juzi tarehe 15 Juni 2025 huko...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment