Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 9, 2012

MAYWEATHER ATOKA JELA YUKO FITI ILE MBAYA, KULIPWA DOLA MILIONI 200 PAMBANO NA PACQUIAO



BONDIA ambaye hajawahi kupigwa katika ngumi za kulipwa, Floyd Mayweather ametoka jela juzi na anaonekana yuko fiti kabisa, mwenye afya njema na misuli ya nguvu baada ya kutoka ndani ya gereza la Clark County Jail, alikowekwa miezi miwili iliyopita. Bondia huyo sasa anaweza kupata ulingoni Novemba 8, mwaka huu kumaliza ubishi na mpinzani wake wa siku nyingi, Manny Pacquiao, pambano ambalo anaweza kulipwa dola za Kimarekani Milioni 200. 
Time's up: Floyd Mayweather is guided away from a Las Vegas prison after serving his sentence
ANARUDI MTAANI: Floyd Mayweather akitolewa gerezani na walinzi kutoka gereza hilo la Las Vegas, baada ya kumaliza kifungo chake
Looking forward: Mayweather was greeted by friends and family following his early release
TABASAMU LA UHURU: Mayweather akitabasamu wakati akilakiwa na marafiki na familia yake baada ya kutolewa jela
Smiles better: Mayweather posted a picture on Twitter following his release from jail
Hii ni picha ambayo ameiweka kwenye twitter, cheki anavyoonekana

No comments :

Post a Comment