Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, November 28, 2015

KOCHA SUPER D AMNOWA BONDIA IBRAHIMU CLASS KING CLASS MAWE


Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifundishwa jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'UpCat' wakati wa mazoezi ya bondia huyo kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogoro Picha na SUPER DBOXING NEWS

KOcha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimfanyisha mazoezi ya nguvu  na kujenga misuli bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu utakaofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro desemba 25 Picha na SUPER DBOXING NEWS

Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimfanyisha mazoezi ya nguvu  na kujenga misuli bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu utakaofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro desemba 25 Picha na SUPER DBOXING NEWS

Ibrahimu Class king class mawe akiwa na kocha Rajabu Mhamila Super D
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' juu akimfanyisha mazoezi ya misuli ya shingo kupandisha na kushusha shingo uku akiwa juu ya bondia  Ibrahimu Class 'King class Mawe' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano ya kitaifa na kimataifa ya bondia huyo Picha na SUPER DBOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila' Super D' akimfanyisha mazoezi ya tumbo bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassim utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER DBOXING NEWS

KOCHA SUPER D AMNOWA BONDIA IBRAHIMU CLASS KING CLASS MAWE

Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimfanyisha mazoezi ya nguvu  na kujenga misuli bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu utakaofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro desemba 25 Picha na SUPER DBOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifundishwa jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini 'UpCat' wakati wa mazoezi ya bondia huyo kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassimu utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogoro Picha na SUPER DBOXING NEWS



Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' juu akimfanyisha mazoezi ya misuli ya shingo kupandisha na kushusha shingo uku akiwa juu ya bondia  Ibrahimu Class 'King class Mawe' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano ya kitaifa na kimataifa ya bondia huyo Picha na SUPER DBOXING NEWS 
Na Mwandishi Wetu
KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amendelea kuwamwagia sumu mabondia Ibrahimu Class 'king Class Mawe' na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro


wakati Class akimvaa Twaha Kassimu bondia vicent Mbilinyi atavaana na bondia mkongwe kabisa Deo Njiku wa Morogoro


akizungumzia mazoezi ambayo anampa bondia bigwa wa mikanda miwili ya U.B.O na WPBF Afrika Ibrahimu Class ambapo kwa sasa anamfanyisha mazoezi ya kumjengea nguvu pamoja na akili kwa ajili ya mchezo wake ujao


ambapo amekuwa akimfanyisha mazoezi mbalimbali ya nguvu yakiwemo ya kujenga misuli ya tumbo pamoja na shingo ambapo bondia huyo kwa sasa anafanya mazoezi mara tatu kwa siku na kusimamiwa vizuri


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

Saturday, November 21, 2015

BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' AJIFUA KUMKABILI TWAHA KIDUKU DESEMBA 25 MOROGORO

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akifundishwa ngumi za kwenda kasi zilizo nyooka na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Class anajiandaa na mpambano wake na  Twaha Kassimu 'Kiduku' Desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akielekezwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' jinsi ya kupiga ngumi za tumbo wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake na Twaha Kassim 'Kiduku' wakati wa mazoezi yake yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' NA KOCHA RAJABU MHAMILA 'SUPER D'
IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE'

Bondia ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia ibrahimu Maokola 'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi ya Class kujiandaa na mpambano wake wa desemba 25 kupambana na Twaha Kassimu mpambano utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro katikati  ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiwasimamia mazoezi haya ya kupigana Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akiwa na mabondia kutoka kushoto Ibrahimu Class 'King clas Mawe' Ibrahimu Maokola na Yusuph Kasimu wakati wa mazoezi yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kutupa makonde makali  wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake desemba 25 na Twaha Kassim 'Kiduku'  yanayoendelea katika uwanja wa basketboll shule ya uhuru Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

MABONDIA TAMBA NA MWAKANSOPE KUPIGANA KESHO JUMAPILI MANZESE


Mabondia Ibrahimu Tamba kushoto akitunishiana misuli nas Baraka Mwakansope baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa utakaofanyika manzese frends corner siku ya jumapili picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Ibrahimu Tamba kushoto akitunishiana misuli nas Baraka Mwakansope baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa utakaofanyika manzese frends corner siku ya jumapili picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Ibrahimu Tamba wa Dar es salaam na Baraka Mwakansope wa Mbeya wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa ubingwa wa kg 72 utakaofanyika katika ukumbi wa frends corner manzese mpambano uho wa raundi kumi utanza saa kumi za jioni

wakisindikizwa na mabondia mbalimbali ambapo bondia Pius Kazaula wa Morogoro atapambana na  Chisora Mawe na Vicent Mbilinyi atapambana na Said Tompoo wa Bagamoyo 

na Julius Kisarawe atapambana na Ramadhani Kumbele mpambano wa ubingwa kg 51

na Mfaume Mfaume atamenyana na Mrisho Adam katika mpambano kg 63 raundi nne

Mohamed Kashinde atakabiliana na Twawabu Issa na Iddi Kayumba atamenyana na Manny Issa 

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

Tuesday, November 17, 2015

MABONDIA WA MOROGORO WATAMBA KUWASAMBALATISHA WA DAR


Mabondia kutoka morogoro wakiwa katika pozi mara baada ya kuongea na wahandishi wa habari juu ya mpambano wao wa desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogoro kutoka kushoto ni Epson John atakaezipiga na Sadik Momba, Kudra Tamimu atakaezipiga na Mohamed Matumla na Twaha Kiduku atakaezipiga na Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa mpambano wa masumbwi Kaike Siraju kushoto  akimwinua mkono juu bondia Twaha Kiduku wakati wa utambulisho wa mpambano wake wa desemba 25  na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' utakaofanyika uwanja wa Jamuhuri Morogoro mwingine ni bondia Kudra Tamimu atakaezipiga na Mohamed Matumla Siku hiyo Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Kaike Airaju akimwinua mkono juu  Bondia Epson John kwa ajili ya utambulisho wa mpambano wake wa Desemba 25 na Sadiq Momba utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Monday, November 16, 2015

BONDIA MESHACK MWANKEMWA BINGWA MPYA WA KG 66 TPBC


Refarii wa mchezo wa ngumi za kulipwa nchini Kondo Nassoro kulia akimnyoosha mkono juu bondia Meshack Mwankemwa baada ya kumnyuka bondia Hamisi mwakinyo katikati ni Promota wa ngumi za kulipwa Jay Msangi akimvalisha mkanda bingwa huyo mpya wa Kg 66 anaetamuliwa na kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC kulia ni Shomari Kimbau Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Meshack Mwankemwa kushoto akiwa na bondia Hamisi Mwakinyo na viongozi na kulia ni Shomari Kimbau wa pili kulia ni rais wa kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Chaurembo Palasa na Jay Msangi
Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Asha Nzowa 'Asha Ngedere' jkulia akipambana na Joyce Awino wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa CCM Mwijuma mwananyamala Dar es salaam mpambano uho ulimalizika kwa sare  picha na SUPER D BOXING NEWS

Refarii Kondo Nassoro katikati akiwainuwa mikono juu mabondia Asha Nzowa kushoto na Joyce Awino baada ya kutoka droo picha na SUPER D BOXING NEWS

MBILINYI ATAMBA KUENDELEZA UBABE JUMAPILI


Na Mwandishi Wetu 

BONDIA Vicent Mbilinyi ametamba kumsambalatisha Said tompoo wa bagamoyo wakati wa mpambano wao utakaofanyika novemba 22 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam

bondia huyo alieweka kambi nje ya jiji la Dar es salaam amesema kuwa ajakikisha anacheza kufa na kupona kwa ajili ya kumsambalatisha bondia huyo

Mbilinyi aliyopo katika usimamizi wa Super D Boxing Promotion amesema kwa sasa ni wakati wake kwani akina wa kumsimamisha kabisa katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha bondia Pius Kazaula wa morogoro atakaezipiga na Abdalla Ruwanje na

Ramadhani Kumbele atakabiliana na Julius Kasarawe wakati Ibrahimu Tamba atamenyana na Baraka Mwakansope wa mbeya

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile


Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi

pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

MJUWE BONDIA LULU KAYAGE ANAETAMBA KATIKA ANGA ZA KIMATAIFA


Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akimnowa bondia Lulu Kayage wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa kugombania mkanda wa taifa desemba 25 na bondia Mwanne Haji mpambano utakaofanyika mkoa wa Morogoro katika uwanja wa jamuhuri picha na SUPER D BOXING NEWS



BONDIA LULU KAYAGE

 Katika kipindi cha hivi karibuni wamewika mabondia wengi sana nchini lakini kwa sasa mabondia wanaotamba na kufanya vizuri wana hesabika ukiondoa kwa upande wa wanaume bondia anaekuja juu zaidi kwa sasa kwa upande wa wanawake ni Lulu Kayage 

 
akizungumza na mwandishi wa makala haya 
bondia huyo kwa ajili ya kuelezea maisha yake  nje ya ulingo. Yafuatayo ni mahojiano hayo:
 mwandishi, Unajihusisha na mchezo  wa ngumi ambao wengi wanaona ni wa kiume, je kama msichana ni changamoto gani unakumbana nazo katika maisha?
Lulu: Kwa kawaida unapokuwa kwenye mchezo wa masumbwi  mtaani watu wengi wanakuogopa wanakuchukulia   kama mgomvi muda wowote unaweza  kupigana na mtu lakini ni tofauti  kwa sababu ukishaingia huku hupigani hovyo.  Changamoto nyingine mimi  nikiongea  sauti yangu  ya asili ni kubwa hivyo ninapokuwa kwenye biashara zangu mtu anaweza akaja kununua kitu nikimjibu anaona naongea kwa hasira wakati sio hivyo.
 mwandishi: Ni kweli huwa mnakuwa wababe na wewe uliwahi kupigana  na mtu mtaani huku ukiwa bondia?
Lulu: Zamani nilikuwa napenda ugomvi  na mtu akinichoza nampiga kweli  lakini  tangu  nimeanza mazoezi ya ngumi hali hiyo iliondoka na kama kupigana najisikia raha nikiwa ulingoni ni kupigana  na bondia mwenzangu. Hata sasa akitokea  mtu aseme tupigane hadharani  tofauti na mchezo naogopa na ninaweza kupigwa  kwa kuwa nitapigana kwa hofu ya kuwa  ninayepigana naye nitamuumiza endapo  nitampiga sehemu mbaya kwa sababu uwezo wa kunipiga hana.
mwandishi: Familia inachukuliaje kazi unayofanya ya kupigana ngumi  na wewe ni mtoto wa kike?
Lulu: Wamepokea vizuri tu na wananiaunga mkono kwa sasa lakini nilivyoanza niliwaficha na walifahamu kuwa nacheza ngumi baada ya kuona picha yangu kwenye gazeti  napigana  wakashangaa na  kuniuliza imekuwaje  nimeingia huko wakati wanajua mimi nafanya riadha.
mwandishi: Kama watu wanakuogopa rafiki zako  wa karibu ni kina nani?
Lulu:Mimi marafiki zangu ni watoto wa kiume kwa bahati mbaya au nzuri sina rafiki wa kike, ukiniona nimeongozana na msichana ujue ndugu yangu. Sina mazoea na wasichana tangu nilipokuwa shuleni.
mwandishi: Kwa nini hupendi kuwa na marafiki wa kike?
Lulu: Wanawake mara nyingi wanakuwa na midomo  ya kuzungumza mambo ya watu yasiyowahusu sasa mimi sipendi. Hata  nyumba niliyopanga wanajua kama rafiki zangu wanaofika nyumbani kwangu ni wavulana. Imefikia hadi wasichana wenyewe wanashindwa kunizoea hawajui  waanzie wapi  kuwa na urafiki na mimi  kwa sababu mambo ya kujadili watu siayapendi  lakini nikiwaona mahali wamekaa nawasalimia kama kawaida.
mwandishi: Kuna vitu vingine  katika maisha lazima umshirkishe msichana mwenzako,  huwa unafanyaje wakati watu wako wa karibu wavulana?
Lulu: Nikihitaji  ushauri au vitu vinavyohusu msichana huwa nawashirikisha wasichana ambao ni ndugu zangu.
mwandishi: Mara nyingi mavazi yako huwa kama ya kiume, je hiyo inatokana na  unavyokaa  karibu nao?
Lulu: Nahisi hivyo kwa sababu  siku nikivaa gauni sijui kuna nini sio rahisi. Lakini Kikubwa  kilichochangia  kupenda mavazi haya ni kwa sababu nimelelewa na baba  tangu nikiwa na miezi mitano baada ya mama yangu kufariki. Unajua  mwanaume anavyolea mtoto huwa hamvalishi sketi kutokana na mazingira na ikawa nikivalishwa sketi nalia kutwa nzima  hata nilivyoanza  shule nguo niliyoshonewa juu sketi ndani imetengenezwa kama suluari
mwandishi: Umeolewa, una mchumba au unaishi na nani?
Lulu: Sijaolewa na wala sina mchumba, ninaishi mwenyewe.
mwandishi: Kwa nini au ndio  hivyo wanakuogopa?
Lulu: Nadhani muda bado haujafika na wapo wanaonifuata nakataa kwa sababu  wengi ni vijana ambao siwaelewi kwa kuwa haiwezekani mtu aje amevaa suluari mlegezo halafu nimkubali. Mimi navaa suluari lakini sipendi mtu anaevaa mlegezo.
mwandishi: Maisha ya kuishi msichana peke yake yana changamoto gani?
Lulu: Binafsi nayaona ni mazuri kwa kuwa napenda kujishughulisha na kazi. Nilikuja mjini nikiwa mdogo nikitokea Iringa na kufanya kazi za ndani kwa miaka miwili bila malipo.
mwandishi: Uliwezaje kufanya kazi bila malipo na ulikuja kulipwa fedha zako baadaye?
Lulu: Nilikuja kuondoka, bahati nzuri mama niliyekuwa naishi naye alikua anafuga ng’ombe  akawa ananipa maziwa nauza hivyo nikawa napata hela kidogo  ambazo nabakisha sokoni  nikafungua akaunti benki nikawa naweka hadi  nikafikisha 600,000 nikaondoka  nikatafuta chumba. Kutokana na utoto nilipata shida kupata kwa kuwa kila ninapokwenda kwa mwenye nyumba ananikataa hadi  nikatafuta msaada polisi wakaniasaidia.
mwandishi: Ilikuwaje ukaingia kwenye ngumi?
Lulu: Ni mchezo niliokuwa naupenda, kwa kuwa nilikuwa nafanya mazoezi ya riadha nikakutana na kijana mmoja  anaitwa Omari Bai nikamuuliza  wapi wanafundisha ngumi akanipeleka kwa mzee Habibu Kinyogoli 'Masta'.
mwandishi: Unafanya mazoezi mara ngapi kwa siku?
Lulu: Mazoezi nafanya mara mbili.
mwandishi: Unapendelea chakula gani?
Lulu: Napenda ugali maharage na mboga za majani na asubuhi napendelea kula matunda.
mwandishi: Kitu gani kinakuongezea kipato?
Lulu: Nafanya biashara ya matunda. Nina genge langu la kuuza matunda lipo maeneo ya  Mkwajuni, Kinondoni.
mwandishi: Kuna  vishawishi vingi kwa vijana kama vile matumizi ya dawa za kulevya  hasa ukiwa kwenye michezo, wewe unajizuaje?
Lulu: Namshukuru Mungu malezi ya baba yamenilinda kwa kuwa sijawahi kumuona akivuta sigara, kunywa pombe au kuingiza mwanamke ndani  hivyo ni ngumu mimi kufanya vitu hivyo. Nikiwa na rafiki anatumia vitu hivyo naepukana naye.
Bondia huyo kwa sasa anasimamiwa mapambano yake ya ndani na nje ya nchi na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushirikiana na viongozi mbalimbali wa mchezo wa masumbwi nchini

Wednesday, November 11, 2015

MABONDIA WA DAR WATAMBA KUWASAMBALATISHA WA MOROGORO


Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Kaike Siraju katikati akimwinua mkono juu bondia Thomas Mashali wakati wa utambulisho wa mpambano wake na Fransic Cheka utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogoro kushoto ni bondia Lulu Kayage atakaezipiga na Mwanne Haji kugombania ubingwa wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota Kaike Siraju akimwinua mkono juu bondia Lulu Kayage wakati wa kutambulisha mpambano wake wa ubingwa na Mwanne Haji mpambano utakaofanyika Jamuhuri Mkoa wa Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu

MABONDIA wa Dar watamba mabondia hawo wanaotarajia kupanda uringoni desema 25 mkoa wa morogoro wakiongozwa na Thomas Mashali aliye jiakikishia ushindi wa mapema kwa kumtwanga Fransic Cheka wa morogoro katika raundi za awali

mpambano wa raundi kumi utakaopigwa katika uwanja wa Jamuhuri morogoro bondia huyo mwenye mashabiki lukuki nchini aliendelea kujitamba kuwa anakwenda morogoro kufanya kazi aliyotumwa na wapenzi wa ngumi ivyo ato waangusha

kwa kuwa  wapenzi wa ngumi watakuja kuangalia mchezo nitakao mchezea ni tofauti na yote ninayochezaga dozi ya cheka ni maalumu kwake tu

nae bondia bingwa wa mikanda miwili wa WPBF na U.B.O Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' amejigamba kumtwanga bondia Twaha Kiduku kwani bado ni kinda sana kwa ata hivyo wembe kaulilia mwenyewe asubili kukatwa tu siku hiyo

nae bondia pekee wa kike nchini anaekuja kwa kasi ya ajabu baada ya kufanya vizuri katika michezo yake ya kimataifa Lulu Kayage amejigamba kuwa atamsambalatisha vibaya Mwanne Haji kwani atofika katika raundi ya sita ambapo kwa sasa sio lulu yule wa zamani 

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

BONDIA MICHAEL YOMBAYOMBA AZIKWA KIBAHA MKOA WA PWANI




Makamu wa Rais wa Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini BFT Wililo Lukelo akitoa salam za lambilambi kutoka kwa wadau wa mchezo wa masumbwi mbalimbali nchini wakati wa mazishi ya bondia Michael Yombayomba yaliyofanyika Kibaha mkoa wa Pwani jana Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Jay Msangi akiwa akiwa amebeba jeneza la marehemu Michael Yombayomba kwa ajili ya kwenda kuzika mazishi yaliyofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani jana Picha na SUPER D BOXING NEWS

WAOMBELEZAJI WAKIPELEKA JENEZA LA MArehemu kwenda kuzika


 
Mtoto wa marehemi Michael Yombayomba Zakaria Yombayomba akiwasha mshumaa katika kaburi la baBA YAKE JANA

WADAU MBALIMBALI WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKIWA KATIKA KABURI LA BONDIA MICHAEL YOMBAYOMBA BAADA YA KUMALIZA KUZIKA KATIKA MAKABURI YALIYOPO KIBAHA MKOA WA PWANI WA TATU KUTOKA KUSHOTO NI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' DAVID YOMBAYOMBA, OSCAR MANYUKA NA JAY MSANGI

CHEKA NA MASHALI KUMALIZANA DESEMBA 25 JAMUHURI MOROGORO


bondia vicent mbilinya atamba


VICENTI MBILINYI
Na Mwandishi Wetu 

BONDIA Vicent Mbilinyi ametamba kumsambalatisha Said tompoo wa bagamoyo wakati wa mpambano wao utakaofanyika novemba 22 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam

bondia huyo alieweka kambi nje ya jiji la Dar es salaam amesema kuwa ajakikisha anacheza kufa na kupona kwa ajili ya kumsambalatisha bondia huyo

Mbilinyi aliyopo katika usimamizi wa Super D Boxing Promotion amesema kwa sasa ni wakati wake kwani akina wa kumsimamisha kabisa katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine yatakayowakutanisha bondia Pius Kazaula wa morogoro atakaezipiga na Abdalla Ruwanje na

Ramadhani Kumbele atakabiliana na Julius Kasarawe wakati Ibrahimu Tamba atamenyana na Baraka Mwakansope wa mbeya

Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

BONDIA VICENT MBILINYI KUPANDA TENA URINGONI NOVEMBA 22 MANZESE


BONDIA VICENT MBILINYI


BONDIA VICENT MBILINYI

Sunday, November 8, 2015

BONDIA IBRAHIMU TAMBA KUPAMBANA NA BARAKA MWAKANSOPE WA MBEYA NOVEMBA 22 MANZESE


Na Mwandishi Wetu 
BONDIA Ibrahimu Tamba anapanda tena uringoni Novemba 22 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaam kugombania mkanda wa ubingwa na bondia Baraka Mwakansope  kutoka Mbeya  kg 73 mpambano uho wa raundi kumi

unatalajiwa kuwa wa kisasi baada ya mara ya kwanza Tamba kumsambalatisha bondia Maisha Samsoni wa uko uko Mbeya hivyo mwakansope amekuja kwa ajili ya kulipiza kisasi cha kupigwa kwa mwenzake mpambano uliofanyika mwanzoni mwa mwaka huu

mratibu wa mpambano uho Jaffar Ndame ameongeza kwa kusema kuwa siku hiyo kutakuwa na mapambano mawili ya ubingwa ambapo bondia Julius Kisalawe atapambana na Ramadhani Kumbele kg 51 ubingwa wa Taifa mpambano wa raundi kumi

mpambano mwingine utawakutanisha bondia Pius Kazaula wa Morogoro atakaepambana na Abdallah Luwanje wakati bondia chipkizi kutoka Super D Boxing Promotion Vicent Mbilinyi atakabiliana na Said Tampoo kutoka bagamoyo

aliongeza kuwa siku hiyo kutakuwa na mapambano mengine ya mabondia chipkizi  mbali mbali pia kutakuwa na burudani za kutosha hivyo kawaomba wapenzi na mashabiki wa mchezo wa masumbwi kuwai ukumbini kwa michezo itanza rasmi kuanzia saa 11 jioni na kumalizika mnamo saa tano kasoro usiku
Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Floyd Mayweathar,Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Kocha Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamasisha

Saturday, November 7, 2015

SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA HAHITIMU SHULE YA MSINGI SASA KWENDA SEKONDARI



SPORTS LADY ZAINABU 'IKOTA' MHAMILA
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia bint yake sports lady Zainabu Mhamila 'Ikota' madaftal makubwa kwa ajili ya kwenda kidato cha kwanza wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam

Zainabu Ikota Mhamila akipokea zawadi kutoka kwa dada yake Sada Swedy wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto dar es salaam katikati ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa na baba yake Rajabu Mhamila ;super d

Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa

Asha Kamnyanga 'mama Ikota' kushoto akimpatias zawadi bint yake Zainabu Mhamila ' Ikota' wakati wa mahafari ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam katikasti ni shangazi yake Azania Athumani Mtopa
Zainabu Mhamila 'Ikota' akimlisha keki Mama yake Asha Kamnyanga 'Mama Ikota' wakati wa Mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam anaeshudia katikati ni dada yake Sada Swedy



Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na bint yake Zainabu Mhamila 'Ikota' wakati wa mahafali ya 22 ya shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mahafari ya 22 ya shele hiyo
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu mhamila wa pili kushoto akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi msimbazi mseto Dar es salaam wakati wa mahafali ya 22 ya shele hiyo
ZAINABU MHAMILA 'IKOTA' NA RAJABU MHAMILA 'SUPER D' WAKIWA MBELE YA SHULE YA MSINGI MSIMBAZI MSETO DAR ES SALAAM