Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 24, 2019

BONDIA RAMADHANMI MBEGU HAPANIA KUMPIGA HASSANI MGAYA KWA K,O APRIL 27 CHANIKA


Na Mwandishi Wetu

BONDIA ramadhani Mbegu 'Migwede' baada ya kumsambalatisha bila huruma mpinzani wake waliyokutana nae katika mpambano wa Pasaka Bilali Rashidi kwa K.O ya raundi ya pili sasa Mbegu atakabiliana na Hassani Mgaya katika mpambano wake wa Aperl 27 utakaofanyika katika ukumbu wa Manka Pub uliopo Chanika Magenge

akizungumza kuhusu mpambano uho Promota wa mchezo wa masumbwi nchini ambapo kiataalamu ni Kocha wa mchezo uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa maandalizi ya mpambano huo yamekamilika na sasa wana hesabu masaa kufikia mpambano uho mabonduia hawo watakuwa wakisindikiza pambano kubwa kati ya Saidi Mbelwa na Selemani Galili 'TOLL'   aliongeza kwa kusema mbali na mapambano hayo kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na mundu ambapo Juma Bilo atakabiliana na Magambo Christopher na Shukuru Samata ataoneshana kazi na Juma Ramasdhani na Mbwana Chinenda atamkabili Mohamed Muhunzi wakati Ismahil Kharidi atakumbana uso kwa uso na Salehe Ubuguyu Anamu Ngange 'Mnyama' atacheza na Saadi Kuchi wakati Abdul Zugo atazipiga na Lumeme Hussein na Idd Mbaruku atazikunja na Mohamed Mshamu

Super D amesema kuwa mapambano yote haya ni kwa ajili ya mabondia kupata ushindani kila wakati na wanatakiwa wawe bize na mazoezi kwa ajili ya mechi mbali mbali zitakazo wakabili ameseka kuwa uzito watapima siku ya ijumaa katika ukumbi uho huo na watacheza siku ya jumamosi ya April 27

Mpambano huu unategemea kufanyika kabla ya kuukaribisha mwezi mtukufu wa Ramadhani ambapo kampuni ya kuinuwa vipaji vya mchezo wa masumbwi nchini ya Super D Boxing Promotion itakuwa likizo kwa mda kwa kuandaa mapambano ya masumbwi hata hivyo Super D ametoa wito kwa mabondia kuendelea na mazoezi kwa kipindi choto cha Ramadhani kwani kuna mapambano mengi ya ngumi yatandaliwa na Kampuni yake kwa ajili ya kukuza kuendeleza na kuinua vipaji vipya vya masum,bwi nchini Super D Mbali ya kuandaa mapambano ya ngumi pia anajihusisha moja kwa moja kuuza vifaa vya mchezo huo pamoja na kutoa mafunzo ya ngumi katika GYM yake iliyopo Kariakoo Dar es salaam

Saturday, April 20, 2019

NGUMI KUPIGWA JUMAPILI YA PASAKA CCM MWINYI MKUU MAGOMENI


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akitunishiana misuli na Rojas Masamu baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika CCM Mwinyi Mkuu magomeni Mapipa katikati ni Promota wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka SUPER D BOXING PROMOTION
Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kutoka Super D Boxing Promotion akiwainu mikono juu bondia Vicent Mbilinyi kushoto na Rojas Masamu baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa Pasaka utakaofanyika CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa

Bondia Vicent Mbilinyi akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Bondia Saluim Tandu akipimwa Afya na DOKTA Dolnad Madono

Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kushoto na Bilali Rashidi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jumapili ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu nagomeni Mapipa

Bondia Ramadhani Mbegu 'Migwede' kushoto akitunishiana misuli na Bilali Rashidi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu Magomeni Mapipa siku ya sikukuu ya Pasaka

Promota Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Salum Tandu kushoto na Gelard Mkude ambao watacheza siku ya jumapili ya pasaka April 4 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto akitunishiana misuli na Luckman Ramadhani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao uakaofanyika jumapili ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM mwinyimkuu Magomeni Mapipa katikati ni Promota wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' KUTOKA SUPER D BOXING PROMOTION

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu MHAMILA 'Super D' kushoto akiwainua mikono juu mabondia Sunday Kiwale 'Moro Best' na Luckman Ramadhani baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Pasaka utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyi Mkuu Magomeni Mapipa

Bondia Bakari Mbede kushoto akitunishiana misuli na Shomari Milundi baada ya kupima uzitio na Afya kwa ajili ya m,pambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM mwinyi Mkuu katikati ni Promota wa Mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' KUTOKA sUPER d Boxing Promotion


Promota Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwangalia mabondia Salum Tandu kushoto na Gelard Mkude  walivyokuwa wakipigiana mikwala mabondia hawo watacheza siku ya jumapili ya pasaka April 4 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwainua mikono juu mabondia Sandal Nyambala kushoto na Ahmad Kombo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Pasaka utakaofanyika katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa

Mabondia Sandal Nyambala kushoto akitunishiana misuli na Ahmad Kombo baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya Pasaka katikati ni Promota Rajabu Mhamila 'Super D' 

Tuesday, April 16, 2019

SUPER D AWAITA MASHABIKI WA NGUMI MAGOMENI SIKU YA PASAKA DAY KUANGALIA MASUMBWI



Rajabu Mhamila 'Super D'
Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA imebaki wiki ya mwisho kabla ya mabondia kuzipiga siku ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa April 21 akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia wote watakaocheza siku hiyo watapima uzito siku ya jumamosi siku moja kabla ya mpambano wao hapo hapo ukumbini
Super D aliongeza kwa kusema kuwa anawaomba mashabiki wote wa mchezo wa masumbwi waje wangalie jinsi anavyozifanya ngumi kuwa za kimataifa zaidi ngumi zitanogeshwa zaidi na mashabiki lukuki wa kike watakaojitokeza kuwapa sapoti mabondia wao aidha amesema kuwa katika ngumi izo mtu anaweza kuja yeye na familia yake nzima kwani ulinzi na usalama wa mali zao na wa uhakika zaidi

zoezi la upimaji uzito litafanyika kuanzia saa tatu asubui na kumalizika saa tano kamili asubui hiyo hiyo amewataka mashabiki na wapenzi wa ngumi kuja kuangalia mchezo huo kwa kuangalia mabondia kupima uzito na kuangalia watakavyo zipiga siku ya Pasaka
Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia, na Ibrahimu Class 'KING Class Mawe'  anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A ndio waliosababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike


Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

Monday, April 15, 2019

SUPER D AWAITA MASHABIKI WA NGUMI MAGOMENI SIKU YA PASAKA DAY KUANGALIA MASUMBWI


Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA imebaki wiki ya mwisho kabla ya mabondia kuzipiga siku ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa April 21 akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia wote watakaocheza siku hiyo watapima uzito siku ya jumamosi siku moja kabla ya mpambano wao hapo hapo ukumbini

Super D aliongeza kwa kusema kuwa anawaomba mashabiki wote wa mchezo wa masumbwi waje wangalie jinsi anavyozifanya ngumi kuwa za kimataifa zaidi ngumi zitanogeshwa zaidi na mashabiki lukuki wa kike watakaojitokeza kuwapa sapoti mabondia wao aidha amesema kuwa katika ngumi izo mtu anaweza kuja yeye na familia yake nzima kwani ulinzi na usalama wa mali zao na wa uhakika zaidi

zoezi la upimaji uzito litafanyika kuanzia saa tatu asubui na kumalizika saa tano kamili asubui hiyo hiyo amewataka mashabiki na wapenzi wa ngumi kuja kuangalia mchezo huo kwa kuangalia mabondia kupima uzito na kuangalia watakavyo zipiga siku ya Pasaka


Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia, na Ibrahimu Class 'KING Class Mawe'  anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A ndio waliosababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

MABONDIA RAMADHANI CHOKI NA VICENT MBILINYI WAJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAO WA PASAKA APRIL 21 MAGOMENI



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo



Bondia Vicent Mbiliyi akipambana na Peter Makubi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake utakaofanyika April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa

MSANII DAVID JEMS KUTUMBUIZA MASHABIKI WA NGUMI SIKU YA PASAKA DAY MAGOMENI



Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya mpambano wa masumbwi uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabikji lukuki wa mchezo wa ngumi nchini Tanzania utakaofanyika April 21 siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu

Msanii chipkizi wa wa kizazi kipya David James 'Level Lizze' kutumbuiza wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi watakaokuja siku hiyo msanii huyo anaetamba na vibao vyake kadhaa vikiwemo umeni control kingine nimechelewa na bas nipe msanii huyo ameahaidi kukonga nyoyo za mashabiki watakaokuja katika mtanange uho utakaowakutanisha

Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

NGUMI KUPIGWA CHANIKA MAGENGE APRIL 27















SUPER D AWAITA MASHABIKI WA NGUMI MAGOMENI SIKU YA PASAKA DAY KUANGALIA MASUMBWI


Na Mwandishi Wetu

ZIKIWA imebaki wiki ya mwisho kabla ya mabondia kuzipiga siku ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa April 21 akizungumzia mpambano uho Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mabondia wote watakaocheza siku hiyo watapima uzito siku ya jumamosi siku moja kabla ya mpambano wao hapo hapo ukumbini

Super D aliongeza kwa kusema kuwa anawaomba mashabiki wote wa mchezo wa masumbwi waje wangalie jinsi anavyozifanya ngumi kuwa za kimataifa zaidi ngumi zitanogeshwa zaidi na mashabiki lukuki wa kike watakaojitokeza kuwapa sapoti mabondia wao aidha amesema kuwa katika ngumi izo mtu anaweza kuja yeye na familia yake nzima kwani ulinzi na usalama wa mali zao na wa uhakika zaidi

zoezi la upimaji uzito litafanyika kuanzia saa tatu asubui na kumalizika saa tano kamili asubui hiyo hiyo amewataka mashabiki na wapenzi wa ngumi kuja kuangalia mchezo huo kwa kuangalia mabondia kupima uzito na kuangalia watakavyo zipiga siku ya Pasaka


Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia, na Ibrahimu Class 'KING Class Mawe'  anaefanya shughuli zake Marekani U.S.A ndio waliosababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

Monday, April 8, 2019

HOMA YA MPAMBANO WA PASAKA DAY KATIKA UKUMBI WA CCM MWINYIMKUU WAPAMBA MOTTO


Na Mwandishi Wetu

zikiwa zimebakia siku chache kabla ya mpambano wa masumbwi wa kumaliza ubishi kati ya Hussein Pendeza na Juma Ramadhani Choki siku ya April 21  Pasaka Day mabondia hawo wamendelea na mazoezi yao kama kawaida kwa ajili ya siku hiyo ya
Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike



Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa


na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

Wednesday, April 3, 2019

ROJAS MASAMU ATAMBA KUMZIMISHA KWA K,O IDD MKWERA YA MAPEMA SANA SIKU YA PASAKA APRIL 21

Bondia Ramadhani Mbegu 'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Idd Mkwera wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa Mbegu atacheza na Rashidi Mnyagatwa na Mkwera atapambana na Rojas Masamu 


Bondia Idd Mkwera  'kushoto' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde naRamadhani Mbegu wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa Mbegu atacheza na Rashidi Mnyagatwa na Mkwera atapambana na Rojas Masamu 

Bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Shehe Azizi wakati wa maoezi yao ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika siku ya Pasaka April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Kiwale atapambana na Luckman Ramadhani na Azizi atapambana na Hussein Shemdoe


Na Mwandishi Wetu

Bondia Rojas Masamu ametamba kumsambalatisha Idd Mkwera katika raundi za awali kwani ataki kuwapa tabu majaji akisungumzia mpambano wake uho Masamu amesema kuwa kwa sasa yupo fiti na ana uchu wa kupambana yani kipigo nitakacho mpa mkwera atokuja kuki sahau mpaka anaingia kaburini najiamini kwa kuwa nimefanya mazoezi ya kutosha na nipo vizuri kila idara hivyo ajipange tu kwa kipigo

nipo kambini sasa yapata miezi miwili kwa ajili ya mpambano uhu asichukulie poa kabisa kwani kwa sasa nimeongeza dozi ya kufanya mazoezi nilikuwa nafanya mara mbili kwa siku lakini kwa sasa nafanya mara tatu kwa kuwa nataka kumpiga kwa K,O mbaya ambayo itawashangaza wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi


Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya Pasaka limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike

Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia Hussein Pendeza atamkabili Juma Ramadhani 'Choki' na Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

Monday, April 1, 2019

HUSSEN PENDEZA NA JUMA RAMADHANI 'CHOKI' KUZIPIGA PASAKA CCM MWINYIMKUU PASAKA APRIL 21


Na Mwandishi Wetu

MABONDIA Hussein Pendeza na Juma Ramadhani 'Choki' wametamba kila mmoja kwa wakati wake juu ya mpambano wao utakaofanyika April 21 siku ya sikukuu ya Pasaka katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa Dar es salaam

akizungumza kuhusu mpambano wake Juma Ramadhani 'Choki' amesema kuwa kwa sasa yani yupo fit mpaka yeye mwenyewe anajiogopa kutokana na mazoezi anayofanya kwani nimefanya mazoezi ya kutosha na nipo tayali kwa mpambano na yoyote yule sio huyu peke yake bondia yoyote yule alie katika uzito wangu nita akikisha nampiga kipigo cha mbwa mwizi kwa hivyo kaeni chonjo  vinginevyo nitawalalawa laluwa na sijaona katika uzito wangu wa kg 58 wa kunisumbua kwani ninajiamini na nina amini mazoezi ninayo yafanya

Choki amewaomba mashabiki wake wa manzese mabibo pamoja na mbagala kuu na mtoni kijichi wajitokeze kwa wingi kuja kumpa sapoti siku hiyo na wangalie nini anafanya katika mchezo uhu wa masumbwi nchini

nae Pendeza amesema kuwa ata akikisha anampiga kama beg kwa juma ni mtoto mdogo sana katika masumbwi hivyo atajuta kuzaliwa kwa kipigo nitakacho mpatia siku hiyo Pendeza aliongeza kwa kuwaomba mashabiki wake wote na wapenzi wa ngumi kujitokeza siku hiyo kuangalia jinsi anavyo msambalatisha kijana huyo


Mpambano uho ulioandaliwa na Promota wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa pambano hilo litafanyika siku ya sikukuu ya pasaka likiwa limepewa nguvu na 

Bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia  bondia huyo ndie aliesababisha mabondia hawo wazipige siku hiyo kwa kuwa vijana wanatakiwa kuendeleza rekodi zao za masumbwi kila wakati ndio mana akaongeza nguvu ili mpambano uho ufanyike


Super D aliongeza kwa kusema kuwa mbali na pambano hilo siku hiyo kutakuwa na mapambano mbalimbali yatakayokuwa yanafanyika siku hiyo ambapo bondia  Idd Mkwera ataoneshana umwamba na Rojas Masamu na  Shomari Milundi ataoneshana umwamba na Bakari Mbede wakati ibrahimu Makubi atavaana na Haruna Ndalo na Ramadhani Mbegu 'Migwede' atakabiliana na Rashidi Mnyagatwa na Salum Tandu zidi ya Gerald Mkude na Sunday Kiwale 'Moro Best' atalindima na Luckman Ramadhani Vicent Mbilinyi na Shabani Mbogo Hussein Shemdoe na Shehe Azizi na Ahmadi Kombo atakumbana na Sandali Nyambala

Mapambano yote hayo yanaletwa kwenu na kampuni tanzu ya kizalendo ya Super D Boxing Promotion ambayo ipo nchini Tanzania kwa ajili ya kuinuwa vipaji ya vijana mbalimbali ili kuendeleza vipaji vyao pendwa

na kupitia kampuni ya Super D Promotion imejizatiti kuweka angalau pambano moja kila baada ya miezi milili ili kuwasaidia vijana mbalimbali kukuza vipaji vyao na kujiendeleza kupitia mchezo uho wa masumbwi nchini

KAZI KAZI NO PAIN NO GAIN SIKU YA PASAKA 21 APRIL


Date: 21/04/2019
Venue/ Ccm mwinyimkuu magomeni mapipa
Promoter: Rajabu Mhamila 'Super D' Company Super D Boxing Promotion
Commission: Tanzania Professional Boxing Regulatory Commission

SCHEDULE: Rings another Mwalimu Said Mr. TICHA DOKTA DORDAN MADONO 
1.iddy Mkwera vs Rojas masamu kg 63 rd 10
2. Vincent mbilinyi Vs shaban mbogo kg61 rd 4 3.Hussein pendeza vs juma ramadhani choki kg 58 rd 8 4.ibrahimu makubi vs haruna ndalu kg 58 rd6 5.shomali milundi vs Bakari mbede kg 63 rd6 6.idd. Mkwera vs Rojas masamu kg63 rd10 7.mbwana Chinenda vs Tyson frank kg58 rd4 8.sunday kiwale vs luckman ramadhanikg48 rd8 9.ramadhani mbegu vs Rashidi Mnyagatwa rd6 kg63 10. Hussein shemdoe vs shehe azizi kg 61 rd 4 11.sandar nyambala vs Ahmad kombo 12.hamis Abdul vs fele x babesh kg63 rd4 Promotion Rajabu Mhamila 'Super D' kwa maelezo zaidi call 0787406938 or 0754406938