Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, April 15, 2019

MABONDIA RAMADHANI CHOKI NA VICENT MBILINYI WAJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAO WA PASAKA APRIL 21 MAGOMENI



Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Choki wakati wa mazoezi yao yaliyofanyika kwa Super D Coach Shule ya uhuru mabondia hawo siku ya pasaka watakuwa na kibarua katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu Magomeni Mapipa ambapo Vicent Mbilinyi atapambana na Shabani Mbogo wakati Choki atazipiga na Hussein Pendeza siku hiyo



Bondia Vicent Mbiliyi akipambana na Peter Makubi wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake utakaofanyika April 21 katika ukumbi wa CCM Mwinyimkuu magomeni Mapipa

No comments :

Post a Comment