Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 31, 2011

FRANSIC MIYAYUSHO AMTWANGA MBWANA MATUMLA KWA POINT


Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupa masumbwi na Mbwana Matumla wakati wa mpambano wao Dar es salaam jana
Jab Jab akuna kulala fransic akipiga jab jab kila wakati ndicho kilicho mfanya ashinde mpambano huo jana


Kamanda wa Polosi Kanda Maarumu, Suleimani Kova akimvisha mkanda wa Ubingwa Bondia Fransic Miyayusho baada ya kushinda kwa pointu kulia ni Diwani wa KInondoni Kata ya Hananasifu, Abasi Tarimba na kiongozi wa kambi ya ngumi ya kinondoni Lazima Ukae, meneja ambaye ni mkurugenzi wa Kisangani Genalar Trades ya Kariakoo,Bobani

Masumbwi mawe kwa kwenda mbele

Matukio Safari Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel Kuelekia Fainali Za Mrembo Wa Dunia


|
Miss Vodacom Tanzia 2011 Salha Israel aliye vaa Nguo za Njano katika Mazoezi ya nguvu kabisa wakati wa maandalizi ya shindano la Miss World Tanzania
Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel wa pili kutoka kulia akiwa Edinburgh Castle hivi karibuni katika safari ya kuelekea katika mashindano ya kumsaka Mrembo wa Dunia
Miss Vodacom Tanzania 2011 Salha Israel wa Pili kutoka kulia akiwa anapiga Chiazi na wenzake .. katika safari ya kuelekea kumtafuta Mrembo wa Dunia.
Na Fredy Njenje

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA JAJI WARIOBA


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu,Jaji Joseph Sinde Warioba kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Oktoba 31,2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu Mstaafu,Jaji Joseph Sinde Warioba, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Oktoba 31,2011. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

NBC na mabenki sita ya biashara yaingia makubaliano na (NHC)leo


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Nehemiah Mchechu akisaini hati za makubaliano na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC,Lawrence Mafuru kuhusu suala la mikopo ya nyumba jijini Da es Salaam leo, Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka na Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Injinia Kesogukewele Msita.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna
Tibaijuka (kushoto) akishikana mikono na Mkurugenzi mtendaji wa Benki ya NBC, Lawrence Mafuru katika hafla ambayo Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) lilisaini hati za makubaliano kuhusu mikopo ya nyumba na benki saba nchini. Benki hizo ni NBC, NMB, BOA, EXIM, Azania, KCB na CBA. Wa pili kushoto ni Naibu Gavana wa Benki Kuu (BoT) Lila Mkila na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Goodluck Ole-Medeye.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka (katikati, nguo nyekundu), Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemiah Mchechu (wa nne kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa benki saba zilizosaini makubaliano ya ushirikiano na NHC.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemiah Mchechu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC,Lawrence Mafuru (kulia) wakibadilishana hati za makubaliano kuhusu suala la mikopo ya nyumba jijini Da es Salaam leo, Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka na Mwenyekiti wa Bodi ya NHC, Injinia Kesogukewele Msita.

Blogu Ya 8020 Fashion Yatimiza Miaka 5 Ya Utendaji Wake



Shamimu Mwasha mmiliki wa 8020 Fashion akimlisha keki mgeni rami Mh Angela Kairuki wakati wa hafla ya blogu hiyo kutimiza miaka 5 ya utendaji wake wa kazi.
Mmiliki wa Blogu ya mavazi ya 8020 Fashions Shamimu Mwasha kushoto aka Shamimu Zeze pamoja na mgeni rasmi Mbunge wa CCM viti maalum Dar es salaam Agela Kairuki wakizundua nembo ya mavazi ya B2A itakayomilikiwa na Shamimu, wakati wa hafla ya kutimiza miaka 5 ya mtandao wa 8020 Fashions iliyofanyika kwenye ukumbi wa Daimond Jubilee jijini Dar es salaam leo mchana.
Tukio hilo limedhaminiwa na kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa kusaidia wanawake MMWEI na kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers kupitia kinywaji chake kikali cha Baileys
hamimu Mwasha mmiliki wa 8020 Fashion na mgeni rasmi Mh Angela Kairuki wakiangalia mavazi ya nguo zilizobuniwa kwa kutumia nembo ya mavazi ya B2A kama wanavyoonekana
Wageni waalikwa katika hafla hiyo wakijimwaga stejini kucheza muziki kama wanavyoonekana katika picha.
Joseline Kamuhanda kushoto na Grace Lyon kutoka Vodacom Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla hiyo.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania , Mwamvita Makamba kulia akiwa katika picha ya pamoja na Meneja wa MMWEI Vodacom Tanzania Mwamvua Mlangwa katika hafla hiyo.

Thursday, October 27, 2011

Maonyesho ya Wizara ya Fedha mnazi mmoja


Baadhi ya wananchi wa Jiji la Dar es alaam waliohudhuria maadhimisho ya Wizara ya Fedha ya kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara wakifuatilia jana (leo) kwa makini burudani kutoka kikundi cha Sarakasi cha Mama Afrika cha Wilayani Kinondoni kilichoshiriki katika maadhimisho hayo katika Viwanja vya Mnazi mmoja.
Maafisa wa Tanzania Investment Benk wakiwaelimisha baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es alaam waliotembelea maonyesho ya Wizara ya Fedha ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara jana katika Viwanja vya Mnazi mmoja juu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo katika kuleta maendeleo nchini.
Afisa Michango (Compliance Officer) wa Mfuko wa Pesheni wa PPF Jacob Sulle akitoa maelezo mbalimbali juu ya faida za fao la Elimu kwa baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es alaam waliotembelea maonyesho ya Wizara ya Fedha ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara jana katika Viwanja vya Mnazi mmoja .
Vijana vya kikundi cha sarakasi cha Mama Afrika cha wilayani Kinondoni wakionyesha ufundi wao katika mchezo huo jana jijini Dar es salaam wakati wa maonyesho ya Wizara ya Fedha za kuadhimisha miaka 50 Uhuru wa Tanzania Bara katika viwanja vya Mnazi mmoja.
Picha na Tiganya Vincent- MAELEZO- Dar es salaam
Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) akiwaelimisha baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es alaam waliotembelea maonyesho ya Wizara ya Fedha ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara jana katika Viwanja vya Mnazi mmoja juu taratibu za upatikanaji na ubadilishaji wa leseni za zamani ili kupata mpya.
Afisa wa Benki ya Posta wakiwaelimisha baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es alaam waliotembelea maonyesho ya Wizara ya Fedha ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara jana katika Viwanja vya Mnazi mmoja juu huduma mpya ya Benki ya matumizi ya simu ya mkononi kwa huduma za kibenki .

VIPAJI MCHEZO WA NGUMI VINAINULIWA HIVI



Kocha mkongwe wa mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli akimwelekeza mtoto Salim Mponda (5) jinsi ya kutupa makonde wakati wa mazoezi ya klabu ya ngumi ya Amana Dar es salaam

DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI KUPATIKANA JUMAPILI DIAMONDI

DVD ZA NGUMI ZA KIBONGO NA KIMATAIFA KUINGIA SOKONI JULAY





MAPAMBANO YA MANNY PAQUAO
MAPAMBANO YA FLOYD MYWHETHER 'JR'

KAA TAYARI KWA MAWASILIANO WA UPATIKANAJI WA DVD PAMOJA NA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI NA MAFUNZO YAKE PIGA SIMU ; 0774,0787=406936
AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM ULIZA

Wednesday, October 26, 2011

FRANCIS MIYAYUSHO NA MBWANA MATUMLA WATAMBIANA MPAMBANO JUMAPILI


Bondia Fransic Miyayusho (kushoto) na Mbwana Matumla wakitunishiana misuri mbele ya waandishi wa habari katikati ni Mohamedi Bawaziri mratibu wa mpambano huo.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Mratibu wa mpambano wa ngumi Mohamedi Bawaziri katikati akiwa na mkanda wa ubingwa utakaogombaniwa na mabondia Fadhili Majia (kushoto) na Juma Fundi siku ya jumapili.(Picha na Linkwww.superdboxingcoach.blogspot.com)

FRANCIS MIYAYUSHO NA MBWANA MATUMLA WATAMBIANA MPAMBANO JUMAPILI


Mkurugenzi wa Kampuni ya Darworld Links Ltd,Mohamed Bawazir ambaye ndiye muandaaji wa pambano la ubingwa wa UBO INTER-CONTINENTAL BANTAM WEIGHT,akizungumza mapema leo asubuhi kwenye moja ya ukumbi wa hotel ya JB BELMONTE HOTEL,jijini Dar kuhusiana na pambano hilo litakalokuwa la aina yake. Bawazir amesema kuwa pambano hilo litawahusisha mabondia Mbwana Matumla pichani kulia na Francis Miyayusho pichani shoto,ambalo linatarajiwa kufanyika Oktoba 30 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar,aidha katika mpambano huo wa kukata na shoka kiingilio kimepangwa kuwa kati ya 10,000 na 5000 kwa kila kichwa. Bawazir amesema kuwa katika pambano hilo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Kamishna wa polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam,Kamanda Suleiman Kova.Mbali ya mpambano huo,Bawazir alitanabaisha kuwa pia kutakuwepo na mapambano mengine ya utangulizi likiwemo pambano la akina Dada Asha Abubakar 'ASha Ngedere' na Salma Kiombwa.'cheka wa Moro

STAR TIMES YATOA MSAADA WA VYAKULA SHULE YA MSINGI UHURU MCHANGANYIKO LEO


Meneja Masoko wa Star Times Zuhura Hanifu (kushoto) akikabidhi baadhi ya vyakula walivyotoa kama msaada kwa Mwalimu mkuu wa SHule ya Msingi UHuru Mchanganyiko, Bi, Anna Mang'enya leo wanaoshuudia wa pili kushoto ni Ofisa Masoko wa Kampuni hiyo Bw. Fidelis Charles na Ofisa Masoko na Ufundi Bw.Erick Cyprian



Saturday, October 22, 2011

DEO NJIKU NA JONAS SEGU WATAMBIANA BAADA YA KUPIMA UZITO


Bondia deo Njiku akimtambia mpinzani wake Jonas Segu kwa kumonesha vidole vitatu na kusema atamtwanga katika raundi hiyo katikati ni Kocha wa Mchezo wa Ngumi Mhamila Rajabu 'Super D Boxing Choach'
kocha wa mchezo wa ngumi Nchini Rajabu Mhamila ' Super D Boxing Coach' katikat akiwainua mikono juu mabondia Deo Njiku wa Morogoro kushoto na Jonas Segu wa Dar es salaam baada ya kupima uzito katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro LEO kwa ajili ya mpambano wa kuwania ubingwa wa taifa wa Oganaizesheni ya ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBO) utakaofanyika KESHO.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)



Mhe. Maige: Dar es salaam ni jabali lililolala



WMU AKIULIZA SWALI KWA MMOJA WA WAONYESHAJI TOKA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
WAJUMBE
DT AKISISITIZA JAMBO
WADAU WAKUBWA WA UTALII NCHINI WAKITETA NA WMU
WANAMUZIKI WA MSONDO OMARIO9KULIA) GURUMO NA WMU
..KIKUNDI CHA NGOMA CHA ASILI


HOTUBA YA MHE. EZEKIEL M. MAIGE (MB) WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII ALIYOITOA WAKATI WA KUADHIMISHA SIKU YA UTALII DUNIANI ILIYOFANYIKA KITAIFA TAREHE 21/10/2011 - DAR ES SALAAM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,
Katibu Mkuu- Wizara ya Maliasili na Utalii,
Wageni Waalikwa,
Mabibi na Mabwana,