Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 9, 2011

BALOZI MUTINDA MUTISO AFUNGUA MASHINDANO YA KENYA AIRWAYS GOLF SAFARI



Balozi wa Kenya nchini Tanzania Matiso Mutinda akipiga mpira wa Gofu wakati alipozindua Mashindano ya Kenya Airways Golf Safari kwenye viwanja vya Gymkana jijini Dar es salaam leo huku Meneja mkazi wa Kenya Airways Lucy Malu wa tatu kutoka kulia akishuhudia, mashindano haya yanafanyika nchi zaote za Afrika ambazo kampuni hiyo ina matawi, na mwakani washindi wote kutoka nchi 35 za Afrika watakutana pamoja mwakani na kushindana Nairobi nchini Kenya, ambapo mshindi wa kila nchi wa shindano hilo atagharamiwa kila kitu ikiwa ni pamoja na malazi kwenda kwenye mashindano hayo makubwa nchini Kenya.
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Mutindo Mutiso kulia akizungumza na Lucy Malu Meneja mkazi wa kampuni ya Kenya Airways wakati wa uzinfuzi wa mashindano ya Kenya Airways Golf Safari.
Meneja mkzi wa Kampuni ya ndege ya Kenya Airways Lucy Malu akiwa katika picha ya pamoja na Mchezaji wa gofu ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya Aerengeti Breweriers SBL wakati wa uzinduzi wa Mashindano ya Gofu yanayoitwa Kenya Airways Safari Golf yanayozinduliwa leo katika viwanja vya Gymkana jijini Dar es salaam.
Mchezaji wa gofu Mustafa Jacks akipiga mpira wakati wa mashindano hayo yanayoendelea kwenye viwanja vya Gymkana.
Mchezaji K. Mbaya raiwa wa Kenya akipiga mpira katika mzunguko wa kwanza wa mchezo huo.
Victor Joseph akipiga mpira.

No comments :

Post a Comment