Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 7, 2011

TBL YAKABIDHI MRADI WA MAJI WA MIL 21 SOKO LA MACHINGA MCHIKICHINI



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akifungulia maji wakati wa uzinduzi wa mradi huo, ambao ulikabidhiwa kwa uongozi wa Soko la Machinga. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano wa TBL, Steve Kilindo ambayo imejenga mradi huo kwa sh. mil. 21.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kulia), Mkurugenzi wa Uhusiano wa TBL, Steve Kilindo (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu wakiwa na furaha baada ya kukabidhi mradi huo wa maji kwa uongozi wa Soko la Machinga la Mchikichini, Ilala, Dar es Salaam
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (kushoto) akimtwisha mfanyabiashara wa Soko la Machinga la Mchikichini, Asumpta Mosha ndoo ya maji baada ya kuzindua mradi wa maji uliojengwa kwa sh. mil. 21 na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL). Hafla hiyo ilifanyika sokoni hapo Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment