Rais Jakaya Kikwete akiagana na viongozi wa ngazi za juu wa CCM baada ya mazishi ya Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Uhuru FM Juma Penza, jana katika makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati.
NGORONGORO YANG'ARA TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Wazanzibar husema, Zanzibar ni njema atakaye aje, Mamlaka ya Hifadhi ya
eneo la Ngorongoro ni miongoni mwa Taasisi zilizoshiriki tamasha la
Kizimkazi ...
1 day ago


No comments :
Post a Comment