Rais Jakaya Kikwete akiagana na viongozi wa ngazi za juu wa CCM baada ya mazishi ya Mkurugenzi Mtendaji wa zamani wa Uhuru FM Juma Penza, jana katika makaburi ya Kisutu mjini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), John Chiligati.
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
3 days ago


No comments :
Post a Comment