Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
NGORONGORO YANG'ARA TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Wazanzibar husema, Zanzibar ni njema atakaye aje, Mamlaka ya Hifadhi ya
eneo la Ngorongoro ni miongoni mwa Taasisi zilizoshiriki tamasha la
Kizimkazi ...
1 day ago

No comments :
Post a Comment