Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
RC KUNENGE AWASILI MKOANI SONGWE
-
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Abubakar Mussa Kunenge, amewasili rasmi
Mkoani Songwe leo, tarehe 03 Septemba 2026, kufuatia uhamisho wake
uliofanywa na R...
2 days ago

No comments :
Post a Comment