Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
MVUA KUBWA KUTARAJIWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI NDANI YA SAA 24 ZIJAZO
-
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari ya uwezekano wa vipindi vifupi vya
mvua kubwa katika saa 24 zijazo, hususan katika baadhi ya maeneo ya mikoa
ya ...
3 days ago

No comments :
Post a Comment