Waziri Mkuu mstaafu, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Cleopa Msuya (wa pili kulia), akihutubia katika mkutano mkuu wa mwaka wa 38 wa wanahisa wa kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa TBL, Robin Goetzsche na kutoka kushoto ni viongozi wa kampuni hiyo,na Katibu wa kampuni hiyo, Haruna Ntahena.
WANAHABARI WAHIMIZWA KUJIUNGA NA NSSF HIFADHI SCHEME
-
Mwanahabari Mkongwe Irene Mark akichangia jambo katika mafunzo hayo ya
siku moja.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi Tamali Vullu akichangia hoja.
Shirik...
1 day ago

No comments :
Post a Comment