Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 13, 2011

Tanzania Distilleries yapata tuzo














Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Tanzania Distilleries imekabidhiwa tuzo ya viwango vya uzalishaji na usambazaji wa vinywaji vikali na mvinyo. Tuzo hiyo ilitolewa na Trade Leader's Club ambayo ina wanachama zaidi ya 7,000 duniani ambapo makao yake makuu yako mjini Madrid, Hispania. Akizungumza baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo hivi karibuni, Rais wa Trade Leader's Club, Arsenio Rodriguez alisema kampuni hiyo imeshindwa tuzo hiyo kutokana na uwezo wake katika uandaaji na usambazaji wa bidhaa zake. Jumla ya kampuni 24 duniani zilishiriki katika shindano hilo ambapo tuzo ya mwaka huu ambayo ni ya 27 ilitolewa kwa kampuni mbili toka Afrika nyingine ikiwa kutoka Mali. Meneja ufundi wa kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleres Ltd, Khadija Madawili akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam juzi alisema tuzo iliyonyakuliwa na kampuni hiyo ni changamoto ya kuhakikisha ubora wa bidhaa zake unakuwa endelevu. Alisema uongozi bora wa kampuni, motisha kwa wafanyakazi, kuwajali wateja na kujua upungufu na uwezo wa kampuni ni mambo yaliyozingatiwa na kusaidia kufikia ufanisi ndani ya kampuni hiyo.

No comments :

Post a Comment