Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 16, 2011

SALMA KIKWETE ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA KUNAWA MIKONO DUNUANI-MAMA














Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwaonyesha watoto zoezi la jinsi ya kunawa mikono kwa sabuni wakati wa maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani Oktoka 15,2011 katika viwanja vya Karimjee.-Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.


Sehemu ya tukio lilifanyika sherehe ya maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani okt.15.2011 jijini Dra es Sal;aam.- Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO.




Wasanii wa Kikundi cha Orijino Comedy kikionyesha zoezi la kunawa mikono wakati wa maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani lililofanyika okotoba 15,2011 jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete hayupo pichani, Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.




Picha ya pamoja iliyopigwa pamoja na mgeni rasmi Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ,uongozi wa Wizara ya afya na Ustawi wa Jamii pamoja na wawakilishi wa watoto waliokuwepo kwenye maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani- oktoba 15,2011. (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).


Baadhi ya watoto pamoja na wanafunzi wa shule mbalimbali za mkoa wa Dar es salaam wakipita mbele ya mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani oktoba 15,2011 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (hayupo pichani) katika viwanja vya Karimjee jijini DSm-(Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO)

No comments :

Post a Comment