Afisa
Utamaduni Jiji la Tanga, Peter Semfuko (katikati) ,Matron Hilda Mwinyi
(Kulia), na mratibu wa kamati ya maandalizi Kessy Salum Mbasha (Kushoto)
wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa fainali za taifa za Miss
Utalii Tanzania 2013, alipo kwenda kukagua kambi na kuzungumza na
warembo hao Jana katika hoteli ya Mwambani Tanga Beach.
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment