Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 25, 2016

BONDIA IDDI MKWELA ALIVYO MSAMBALATISHA MWITA MACHAGE K.O RAUNDI YA KWANZA









Bondia Mwita Machage kushoto akipambana na Iddi Mkwela wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza katika mpambano huo Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Mwita Machage kushoto akipambana na Iddi Mkwela wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda kwa K.O ya raundi ya kwanza katika mpambano huo Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Iddi Mkwela kushoto akimshambulia Mwita Machage kwa makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Mkwela alishinda K.O ya raundi ya kwanza ya mpambano uho Picha na SUPER D BOXING NEWS
Refarii Saidi Chaku akimnyoosha mkono juu bondia Iddi Mkwela baada ya kumdunda kwa K.O ya raundi ya kwanza Mwita Machage kushoto ni bondia Vicent Mbilinyi Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifuraia baada ya bondia Iddi Mkwela kusinda kwa K.O ya raundi ya kwanza wakati wa mpambano wake uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifuraia baada ya bondia Iddi Mkwela kusinda kwa K.O ya raundi ya kwanza wakati wa mpambano wake uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kushoto ni Sako Mwaisege 'Dungu' Picha na SUPER D BOXING NEWS
kabla ya mpambano kuanza

No comments :

Post a Comment