Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 1, 2019

MADA MAUGO KUZIPIGA NA TWAHA KIDUKU MSAMVU MOROGORO MARCH 2


Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Amani Bariki 'Manny Chuga' kushoto akinyooshwa mkono juu na mpinzani wake Cosmas Cheka na promota wa masumbwi nchini Siraju Kaike baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika march 2 katika ukumbi wa terminal pub uliopo msamvu Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia machachali nchini Tanzania Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto kutoka Dar es Salaam Tanzania akinyooshwa mkono juu na mpinzani wake Said Chalachim kutoka Ifakala mabondia hawo watazipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal Pub ulipo msamvu Morogoro katikati ni promota wa mpambano huo Kaike Siraju

Bondia machachali nchini Tanzania Sunday Kiwale 'Moro Best' kushoto kutoka Dar es Salaam Tanzania akitunishiana misuli  na mpinzani wake Said Chalachim kutoka Ifakala mabondia hawo watazipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal Pub ulipo msamvu Morogoro

Bondia Twaha Kiduku kushoto akiwa ameshika mkanda wa Taifa watakaogombania yeye na Mada Maugo March 2 Morogoro katika ukumbi wa Terminal Pub uliopo Morogoro Msamvu Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa masumbwi nchini Kaike Siraju akiwainua mikono juu bondia Ibrahimu Makubi na Chales Chilala baada ya kupima uzito kwa ajili ya kuzipiga march 2 katika ukumbi wa Terminal pub ulipo msamvu morogoro
BONDIA SUNDAY KIWALE 'MORO BEST' AKIPIMA UZITO
BONDIA IBRAHIMU NMAKUBI AKIPIMA UZITO

No comments :

Post a Comment