Mwenyekiti wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani kulia pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni hiyo Shantanu Chitgopkar wakionyesha mfano wa bia ya Uhuru Peak Lager jana mara baada ya kuzinduliwa rasmi jijini Dar es salaam kwenye Hoteli ya Movenpick, bia hiyo kwa sasa inapatikana kwenye baa mbalimbali na ina kilevi asilimia 5.8 haya kazi kwenu watumiaji wa kilaji endeleeni kujimwaga na Uhuru Peak Lager
Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars Marcio Maximo akiwa na maiwaifu wake.
BONDIA MLUNDWA NA MBISE WAMLILIA MSOMBA
-
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa
wingi katika mazishi ya aliyekua bondia mkongwe Lucas Msomba.
Akizungumza ka...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment