Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akitaja majina ya wanamuziki bora kwa mwaka 2011 wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo.Kampuni ya Bia nchini ndio wadamini wakuu wa michuano hiyo.Kulia ni Mratibu wa tuzo kutoka BASATA Agello Luhala
NGORONGORO YANG'ARA TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Wazanzibar husema, Zanzibar ni njema atakaye aje, Mamlaka ya Hifadhi ya
eneo la Ngorongoro ni miongoni mwa Taasisi zilizoshiriki tamasha la
Kizimkazi ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment