Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Kampuni ya simu Zantel Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi msaada wa magodoro vyakula pamoja na vitu mbalimbali kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Chiku Galawa kwa ajili ya watu waliopatwa na maafa ya kulipukiwa na mabomu, Gongolamboto leo jumla ya garama ya vitu vyote milioni 20 vilivyotolewa na Kampuni hiyo
NGORONGORO NI NYUMBANI KWA KILA BINADAMU - KAMISHNA BADRU.
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw.
Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha
shindano la ...
2 days ago
No comments :
Post a Comment