Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Kampuni ya simu Zantel Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi msaada wa magodoro vyakula pamoja na vitu mbalimbali kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Chiku Galawa kwa ajili ya watu waliopatwa na maafa ya kulipukiwa na mabomu, Gongolamboto leo jumla ya garama ya vitu vyote milioni 20 vilivyotolewa na Kampuni hiyo
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment