Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Kampuni ya simu Zantel Bw. William Mpinga (kulia) akimkabidhi msaada wa magodoro vyakula pamoja na vitu mbalimbali kwa Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi. Chiku Galawa kwa ajili ya watu waliopatwa na maafa ya kulipukiwa na mabomu, Gongolamboto leo jumla ya garama ya vitu vyote milioni 20 vilivyotolewa na Kampuni hiyo
RC KUNENGE AWASILI MKOANI SONGWE
-
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Abubakar Mussa Kunenge, amewasili rasmi
Mkoani Songwe leo, tarehe 03 Septemba 2026, kufuatia uhamisho wake
uliofanywa na R...
1 day ago
No comments :
Post a Comment