Picha
ya pamoja Washiriki wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi
(Administration and Management) iliyohusisha wadau mbalimbali wa soka la
Tanzania wakiwamo Makatibu wa Vyama vya Soka na Uongozi wa TFF. Kozi
hiyo inafanyika kwenye Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam
kuanzia Agosti 6 hadi 11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio
mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na klabu za kongwe za Simba na
Yanga.
NGORONGORO YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAONGOZA WATALII (THE BIRTH OF WONDERS
PHOTO COMPETITION)
-
Mabadiliko makubwa katika ushirikishwaji wadau wa sekta ya utalii
yameibuliwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ikianza mwanzo wa safari
mpya ya simu...
3 hours ago

No comments :
Post a Comment