Picha
ya pamoja Washiriki wa Kozi ya FIFA ya Utawala na Usimamizi
(Administration and Management) iliyohusisha wadau mbalimbali wa soka la
Tanzania wakiwamo Makatibu wa Vyama vya Soka na Uongozi wa TFF. Kozi
hiyo inafanyika kwenye Ukumbi wa Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam
kuanzia Agosti 6 hadi 11, 2012. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ndio
mdhamini wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) na klabu za kongwe za Simba na
Yanga.
MIKOA 20 YA TANZANIA KUPATA MVUA KUBWA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa kwa
baadhi ya maeneo ya mikoa 20 nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA...
1 day ago

No comments :
Post a Comment