Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akipeana mkono na
Mbunge wa Sunve, Richard Ndassa baada ya kukabidhi msaada wa madawati na
viti vyenye thamani ya sh. milioni 5 kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya
Sunve. Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Sunve, Edna
Kingu. Hafla hiyo ilifanyika wilayani Kwimba, Mwanza
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment