Meneja
wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akipeana mkono na
Mbunge wa Sunve, Richard Ndassa baada ya kukabidhi msaada wa madawati na
viti vyenye thamani ya sh. milioni 5 kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya
Sunve. Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Sunve, Edna
Kingu. Hafla hiyo ilifanyika wilayani Kwimba, Mwanza
TANZANIA WAMEPOTEZA MECHI YA KWANZA YA AFCON
-
Matokeo ya baadhi ya mechi za michuano ya kombe la Afcon.
6 hours ago
No comments :
Post a Comment