Rais
Mstaafu awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati
alipokuwa katika mazungumzo na viongozi mbali mbali akiwemo Rais Mstaafu
awamu ya Tatu Mhe. Benjamim William Mkapa (kushoto), Jaji Mkuu Othman
Chande (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik
(watatu kushoto) pamoja na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue jana
jioni wakati wa futari iliyoandaliwa nyumbani kwa Balozi Sefue jijini
Dar es Salaam kwa ajili ya viongozi mbalimbali serikalini. (Picha na
Freddy Maro).
MAWAZIRI TANZANIA NA ZAMBIA WATUA EDEN YA NGORONGORO NA UJUMBE WA WATU 170
-
Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro jana tarehe 26 Februari 2026 limepokea ugeni
mzito uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Mhe.
Patr...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment