Rais
Mstaafu awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati
alipokuwa katika mazungumzo na viongozi mbali mbali akiwemo Rais Mstaafu
awamu ya Tatu Mhe. Benjamim William Mkapa (kushoto), Jaji Mkuu Othman
Chande (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik
(watatu kushoto) pamoja na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue jana
jioni wakati wa futari iliyoandaliwa nyumbani kwa Balozi Sefue jijini
Dar es Salaam kwa ajili ya viongozi mbalimbali serikalini. (Picha na
Freddy Maro).
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
1 day ago
No comments :
Post a Comment