Rais
Mstaafu awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati
alipokuwa katika mazungumzo na viongozi mbali mbali akiwemo Rais Mstaafu
awamu ya Tatu Mhe. Benjamim William Mkapa (kushoto), Jaji Mkuu Othman
Chande (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik
(watatu kushoto) pamoja na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue jana
jioni wakati wa futari iliyoandaliwa nyumbani kwa Balozi Sefue jijini
Dar es Salaam kwa ajili ya viongozi mbalimbali serikalini. (Picha na
Freddy Maro).
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
1 day ago
No comments :
Post a Comment